E FM

E FM
SIKILIZA 93.7 E FM KILA SIKU

Friday, August 9, 2013

HIZI NI 'POSTS' ZA MASTAA MBALIMBALI MUDA HUU.....

HIZI NI BAADHI YA POSTS ZA MASTAA HAPA NCHINI KUHUSIANA NA SIKUKUU YA EID

 Kutoka katika mtandao wa facebook, wasanii Diamond, Kala Jeremiah pamoja na Radio presenter wa Clouds Fm Radio B12 wameandika hivi...........
nAWATAKIA SIKUKUU NJEMA NDUGU ZANGU WA ISLAM





EID MUBARAAQ KWA WAISLAMU WOTE,TUMSHUKURU MUNGU KWA PAMOJA KWA KUTUWEZESHA KUWEZA KUMALIZA MFUNGO WA RAMADHANI SALAMA....BILA KUSAHAU KIDOGO TULIVYONAVYO BASI TUGAWANE NA WAJANE,YATIMA NA WASIOJIWEZA.WAGONJWA TUSIWASAHAU KWENYE SIKU HII MUHIMU KWETU NAPENDA KUWASIHI AMANI ITAWALE KATI YETU NA UPENDO ULIOSHAMIRI UZIDI KUSHAMIRI ZAIDI....NAWAPENDA SANA..
 · 55 minutes ago near Dar es Salaam, Tanzania · 

Eid Mubaraq ndo nakutakia wewe na familia yako na jamii inayokuzunguka, usherehekee kwa amani na upendo.
Like · · · 30 minutes ago



Eid MubaraQ To You and You and You......
Like · · · about an hour ago via mobile ·

Kwa watu wangu wote wa nguvu!
Like · · · 28 minutes ago ·   

Idd Mubarak watu wangu wa ukweli. Lakini kumbuka .... Ukiendekeza mapenzi utashindwa kufanya mambo ya maendeleo.
Like · · · 32 minutes ago ·   

IDD NJEMA KWA WOTE
Like · · · 2 hours ago ·
 

Eid Mubarak wapendwa!
 

No comments:

Post a Comment