E FM

E FM
SIKILIZA 93.7 E FM KILA SIKU

Monday, August 18, 2014

KAMA UMEMISS HII HAPA MAMON'GOO REMIX.. JUMLA YA WASANII 12 WAMETEMBEA KWENYE BEAT MOJA

Download Mamong'oo Remix hapa (Hulkshare) Hakuna Tangazo

JUMLA ya wasanii 12 kutoka Jiji la Arusha wametembea kwenye beat moja na kufanya remix ya wimbo wa 'Mamong'oo' ambao ulifanywa na kundi la Jambo Squad linaloundwa na Ordinary na Nigga C.
Wimbo huu wa Mamong'oo Remix umerudiwa na wasanii kama Nikki wa Pili, G Nako, Chindo, Nakaaya, Bou Nako, Ordinary na Nigga C na wengine wengi..

Download kwenye link hiyo hapo chini
Download Mamong'oo Remix Hapa (Mikito) 

Download Mamong'oo Remix (Hulkshare) hapa 

No comments:

Post a Comment