Sekabenga enzi za uhai wake |
leo nimekuwekea picha za marehemu enzi za uhai wake.
Mwanafunzi huyo alifariki jana mchana ghafla alipokuwa amejipumzisha chumbani kwake maeneo ya Hall 1 Block E.
Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi AAMIN...
Kaa nami kwa stori kama hizi na pia unaweza kushare na wenzako waweze kufahamu...
No comments:
Post a Comment