Mahakama kuu nchini Malawi imetoa hukumu dhidi ya
jaribio la rais Joyce Banda kupiga marufuku matokeo ya shughuli ya
uchaguzi wa urais na ubunge.
Mahakama italiangazia upya tangazo la rais Banda kwamba uchaguzi huo haufai kwa kuwa ulikumbwa na udanganyifu mkubwa.
Bi. Banda yuko katika nafasi ya pili kulinga na matokeo yaliotangazwa na kwamba ndugu ya aliyekuwa rais wa taifa hilo Peter Mutharika ndio anayeongoza.
No comments:
Post a Comment