Uwoya alikuwa rafiki wa karibu mno wa marehemu na ndio sababu kubwa inyotajwa ya kuanguka huko.
Hivi sasa katika viwanja vya Leaders Club shughuli ya kumuaga Recho inaendelea na baadae jioni atazikwa katika makaburi ya Kinondoni.
![]() |
Uwoya alipoanguka Leaders |
![]() |
Mwili wa Recho ukiwa kwenye jeneza nyumbani kwake kabla ya kupelekwa Leaders Club |
No comments:
Post a Comment