E FM

E FM
SIKILIZA 93.7 E FM KILA SIKU

Saturday, May 24, 2014

TAZAMA HAPA JINSI MASHABIKI WALIVYO NA UPENDO KWA MASTAA WAO

LEO asubuhi mwanamuziki wa kimataifa, ALAINE kutoka Jamaica, ameweka picha hiyo hapo juu katika mtandao wa Instagram na kuandika: 


"Niliegesha gari langu katika duka kubwa na niliporudi nikakuta hiki kwenye dirisha la mbele la gari yangu"



No comments:

Post a Comment