E FM

E FM
SIKILIZA 93.7 E FM KILA SIKU

Monday, June 16, 2014

KOLABO YA JUSTINE BIEBER NA CHRIS BROWN SOON.........

MARA baada ya kukaa kimya muda mrefu hatimaye staa mdogo kutoka Marekani
anayeandamwa na mikosi Justine Bieber ametangaza kuachia ngoma aliyoshirikiana na Chris Brown muda mfupi ujao.

Staa huyo ametupia picha katika mtandao wa Instagram akiwa na CB huku akiandika:

           "Studio, me and CB did 1 for the fans"



Hii inakuja muda mfupi tu tangu Chris Brown atoke jela ambapo imeripotiwa pia Chris Brown kufanya kolabo na msanii kutoka Nigeria, WIZKID.

No comments:

Post a Comment