Siku hii anaiadhimisha akiwa mbali na marehemu mama yake. Kupitia mtandao wa Instagram Ommy Dimpoz amepost ujumbe mrefu ambao kiasi fualani unaumiza kwa ajili ya kumkumbuka mama yake. Ujumbe wenyewe huu hao chini:
akamalizia 'Pumzika kwa amani Mwanamke Uliye na Himaya Kubwa Zaidi kwenye Moyo Wangu'
@mubenga @beingaidancharlie
Ujumbe huu pia kausindikiza na maneno ya kipande kifupi cha video wa wimbo wa 'Nani Kama Mama' alioshirikishwa na Christian Bella.
No comments:
Post a Comment