Bw. Mboya Innocent |
Mboya Innocent, aliyekuwa waziri wa mikopo katika serikali ya Bw. Kisanko Evance anayemaliza muda wake amesema kuwa ataendeleza yale mazuri aliyokuwa anayafanya kipindi alipokuwa waziri wa mikopo hivyo anahitaji nafasi hii ya Urais.
Bofya hapa kutazama video ya mahojiano na Bw. Mboya sehemu ya kwanza.
Bofya hapa kutazama video ya mahojiano na Bw. Mboya sehemu ya pili.
Unaweza kushare na rafiki zako stori hii
No comments:
Post a Comment