E FM

E FM
SIKILIZA 93.7 E FM KILA SIKU

Thursday, April 24, 2014

NI DAKIKA TANO (5) TU NDIZO UTAKAZOTUMIA KUMTIZAMA BW. FILBERT NICKSON, MGOMBEA URAIS UDSM AKIZUNGUMZA N



Bw. Filbert Nickson
MGOMBEA wa nafasi ya Urais katika kinyanyiro kinachoendelea katika chuo kikuu cha Dar es Salaam Bw. Filbert Nickson, amezungumza na sumathepresenter.blogspot.com na kufafanua
sera mbalimbali atakazozitekeleza pindi atakapochaguliwa kuwa Rais wa serikali ya wanafunzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO).

Awali katika kampeni zake maeneo ya Hostel za Mabibo, Bw. Filbert ameeleza kuwa atahakikisha anashughulikia suala la mapato na matumizi ndani ya DARUSO kwa manufaa ya wanafunzi wote wa Chuo hicho kama atapatiwa nafasi.
 
Mgombea Bw. Filbert akisiliza maswali ya wanafunzi

 
Wanafunzi wakimuuliza maswali mgombea



 
Wanafunzi wakifuatilia kampeni kutoka vyumbani mwao

Mchakato unaondelea sasa katika chuo kikuu cha Dar es Salaam ni uchaguzi wa Rais wa DARUSO pamoja na makamu wake ambapo uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika siku ya Jumatatu tarehe 28/04/2014 kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 10 jioni.

Bofya hapa kutazama video ya mahojiano na Bw. Filbert Nickson








No comments:

Post a Comment