E FM

E FM
SIKILIZA 93.7 E FM KILA SIKU

Thursday, April 24, 2014

PICHA 13: KAMPENI ZA URAIS CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM 'UDSM ZAANZA RASMI...


JANA siku ya tarehe 23/04/2014 ndio ilikuwa siku ya kwanza kabisa katika uzinduzi rasmi wa kampeni za urais katika chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ili kumpata Rais atakayeongoza serikali ya DARUSO kwa mwaka 2014/2015.


Katika ukumbi wa YOMBO 4 uliokuwa umefurika, kulihudhuriwa na viongozi wanaomaliza muda wao akiwemo Rais anayemaliza muda wake Bw, Kisanko, Evance pamoja na mshauri wa wanafunzi.
Bw. KISANKO, Evance, Rais wa DARUSO 2013/14









Katika ufunguzi wa kampeni hizo, wagombea mbalimbali walitambulishwa rasmi na pia kupewa fursa kuelezea sera zao.


Mgombea Urais kotoka shule ya sheria









Wagombe Umakamu wa Rais
Mgombe Urais kutoka COHU, Bw. GIBSON, George
Kutoka kushoto ni Makamu wa Rais, katikati ni Rais anayemaliza muda wake
Wanachuo wakifuatilia ufunguzi huo
Unaweza kushare stori hii

2 comments: