
Anaigombea hiyo tuzo na Davido wa Nigeria, Mafikizolo wa South Africa, Tiwa Savage wa Nigeria, Toofan na Sarkodie wa Ghana.
BET kupitia page yao ya twitter waliandika kuthibitisha kuchaguliwa kwa Diamond na kumpongeza akiwa pia ni msanii pekee wa Afrika Mashariki kwenye tuzo hizi za mwaka huu.
Kupitia Instagram mastaa mbalimbali wamempongeza Diamond kwa namna tofauti.
Tazama hapa
![]() |
HII NI YA SHETTA |
![]() |
HII NI YA SALAMA JABIR |
![]() |
HII NI YA B DOZEN |
![]() |
HII NI YA SHEDDY CLEVER |
![]() |
HII NI YA LULU |
![]() |
HII YA WEMA SEPETU |
![]() |
HII YA YOUNG DEE |
![]() |
HII YA VANESA MDEE |
![]() |
HII YA AY |
No comments:
Post a Comment