kwenye akaunti yake ikimwonesha akilalamikia serikali ya Marekani kutoweka bendera ya Taifa la Tanzania katika nchi yao.
Video hiyo ya sekunde 15 inamwonesha Masanja akiwa mbele ya ofisi moja huku ofisi hiyo ikiwa na bendera za nchi nyingi isipokuwa ya nchi yake ya Tanzania.
Itazame hapo chini
No comments:
Post a Comment