E FM

E FM
SIKILIZA 93.7 E FM KILA SIKU

Sunday, June 8, 2014

CHEKI JINSI DIAMOND NA DAVIDO WALIVYOPERFORM NUMBER ONE REMIX KWENYE TUZO ZA MTV MAMA JANA USIKU

 DIAMOND platnumz alikuwa akishindania tuzo katika vipengele viwili katika tuzo za MTV MAMA zilizofanyika jana usiku nchini Afrika ya Kusini.


Mbali na kutokushinda tuzo hizo, Diamond alipata nafasi ya kutumbuiza jukwaani huku akishirikiana na DAVIDO..

Video hiyo hapo chini

No comments:

Post a Comment