Mara baada ya Ney wa Mitego kuachia track yake ya 'Shika adabu yako' na 'kumchana' msanii mwenzake Ommy Dimpoz kuwa kwanini hampost mpenzi wake?
Suma255.Com
....A blog that brings you closer to all stories and news around Tanzania, Africa, and whole world at large.
Tuesday, February 16, 2016
Friday, February 12, 2016
UBUNGE WA PROF. JAY ULIPINGWA MAHAKAMANI. NI IPI HUKUMU YAKE? STORY NZIMA IKO HAPA
Mara baada ya uchaguzi wa October 25 mwaka 2015 kuisha, wananchi wa jimbo la Mikumi waliamua kuongeza idadi ya vichwa vikali vya Hip Hop nchini kuingia bungeni na ndipo walipomchagua Mh. Joseph Haule maarufu kama Prof. Jay aliyekuwa akigombea
Ladies and Gentlemen,AKA & Diaamond Platnumz - Make Me Sing (Official Video) nimeipata tayari. Itazame hapa
Mabibi na mabwana ninawasogezea collabo matata kutoka kwa Mtanzania, Diamond Platnumz akishirikiana na Msouth Afrika, A.K.A ngoma inayokwenda kwa jina la 'Make Me Sing'.
ULIIMISS YOU HEARD NA SOUDY BROWN LEO KUHUSU KUHARIBIKA KWA UJAUZITO WA WEMA SEPETU? MMAJIBU YA IDRIS NA AUNTY EZEKEIL JE? YOTE NIMEKUWEKEA HAPA
Jana kupitia akaunti yake ya Instagram, the gossip cop himself, Soudy Brown alipost kuhusu ujauzito wa mwigizaji na mlimbwende kutoka Tanzania mwanadada Wema Sepetu kwamba amelazwa hospitali
Thursday, January 7, 2016
Kutana na Bajaj yenye TV ndani...Nyimbo wanazopenda abiria je?
SIKU chache zilizopita nilitembelea mkoa wa IRINGA na kukutana na story moja iliyonivutia nikaona nikusogezee na wewe pia msomaji wangu. Ni stori inayohusu Bajaj ambayo ina Tv ndani na inapendwa sana abiria wakaazi wa maeneo ya Iringa.
Friday, December 25, 2015
Exclusive Interview na mwanafunzi bora wa mwaka 2015 kutoka UDSM mwenye GPA 4.9 hii hapa
Anaitwa Revocatus Milambo, mwanafunzi bora kabisa wa mwaka 2015 kutoka UDSM aliyepiga GPA ya 4.9. Nimepiga nae story
Friday, December 18, 2015
Exlussive Interview na Kevi, Msanii wa Bongo Fleva kutoka Karatu: Wasanii anaowakubali, Producer mkali kwake ni nani? Majibu yako hapa
Thursday, November 12, 2015
Sunday, November 1, 2015
KOLABO YA DIAMOND NA WIZKID INANUKIA? ATARUDI TENA BONGO? MAJIBU YAKO HAPA!
UNAPOZUNGUMZIA mastaa wa muziki barani Afrika kwa sasa huwezi kosa kumtaja Diamond Platnumz kutoka area code +255 (Tanzania) na star wa hit song Ojuelegba wa Nigeria Wizkid.
Saturday, October 31, 2015
MCHUMBA WANGU HAPENDI KUJULIKANA - WIZKID
KUPITIA kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, hit maker wa OJUELEGBA, Wizkid amefunguka kuwa hapendi kuweka maisha yake nje ya muziki kwenye vyombo vya habari.
Subscribe to:
Posts (Atom)